dalaja hilo lina aminika kuwa ni la asili yaani lilijengwa na mungu.halikadhlika kisayansi inaaminika kuwa daraja hilo lilitokana na msukumo mkubwa wa maji ambayo yalipelekea kutoboka kwa mwamba.haya ni maoni kutoka kwa baadhi ya wanachama.
issa yahaya alisema"mimi kwanilivyoona dalaja hili limetokana na volcano ilitoka kwenye mlima rungwe ambayo ilishuka na kupita kwenye mto kiwila" yeya anaamini kuwa volcano ilitoboa mwamba na kutengeneza daraja lile.
mwanachama mwingine anayefahamika kama HOSEA MWASIPOSYA alisema" vitu vya asili kama hivi hatupaswi kuumiza akili sana bali tunatakiwa kumuachia MUNGU na siku tutakayokuwa mbinguni atatupatia majibu"
wakiwa eneo la daraja la mungu, wanachama walijifunza mambo mbalimbali kama masomo ya unabii,ukuaji na kubalehe pamoja na mavazi na mitindo ya maisha.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni