kambi la moto ni kambi ambalo vijana hukusanyika sehemu moja wakati wa usiku wakiuzunguka moto kwa ajili ya masimulizi ya kikristo na mafunzo.vijana wa mabalozi walipata nfasi ya kukusanyika pamoja katika kambi la moto.katika kambi hili vijana waliweza kujifunza mambo mbalimbali kuhusu maisha na wakati uliobaki mpaka kurudi kwa yesu.pia mafunzo kama nishani ya nyota yalifundishwa ambapo vijana waliweza kuuona ukuu wa Mungu
Machapisho Maarufu
-
chama hiki ni chama ambacho kipo chini ya kanisa la waadventista wasabato mbeya mjini, mkoa wa mbeya. katika chama chetu tunajihusisha na...
-
kambi la moto ni kambi ambalo vijana hukusanyika sehemu moja wakati wa usiku wakiuzunguka moto kwa ajili ya masimulizi ya kikristo na mafu...
-
Wanachama wa chama cha mabalozi mbeya town walitembelea dalaja la mungu lililopo tukuyu wilaya ya rungwe mkoa wa mbeya. dalaja hilo l...
-
Ambassadors wote tunakumbushwa kufika siku ya jumanne saa tisa mchana kwa ajili ya mijadala na mafundisho mbalimbali.karibuni nyote na ...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni